Wikipedia:Privacy policy

Chuo Cha Ukutubi Na Uhifadhi Nyaraka

Chuo Kilianzishwa mwaka 1989 Mkuu wa Chuo wa kwanza alikuwa Bw. Adonia Elieza Mwinyimvua Annuani ya Chuo: S.L. P. 227, Bagamoyo. Chuo kinatoa stashahada ya miaka miwili kwa wahitimu wenye elimu ya kidato cha sita au wale walio na elimu ya Sekondari ya kidato cha nne na cheti cha ukutubi baada ya mafunzo ya mwaka mmoja.

Chuo mpaka sasa kinatoa mafunzo katika nyaja ya Cheti na stashahada. Mafunzo ya stashahada inatolewa toka Maktaba Kuu ya Taifa Dar es Salaaam.


pompa ciepła reklama w google Linki sponsorowane najlepsze kredyty mieszkaniowe Femtokomórki karty kredytowe Webdesign Wierszyki życzenia teksty sms żarty Restauracje Polska Optyka Teledyski winamp Świąteczne Opisy limousine service warsaw kick koparki Bułgaria wczasy Karaoke expekt COOLsurf